Wanafunzi watatu wafariki dunia kwa kufunikwa na kifusi wilayani Mpwapwa

Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa Waziri wa Ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (Tamisemi) Ummy Mwalimu ameitaka kamati ya Ulinzi na usalama ya mkoa akishirikiana na kamati ya Ulinzi ya wilaya ya Mpwapwa kuchunguza tukio la WANAFUNZI watatu wa shule ya msingi mbori wilayani Mpwapwa waliofariki dunia  kufuatia ajali ya kufukiwa na