Wanafunzi watatu wafariki dunia kwa kufunikwa na kifusi wilayani Mpwapwa
Na Barnabas Kisengi, Mpwapwa Waziri wa Ofisi ya Rais tawala za mikoa na serikali za mitaa (Tamisemi) Ummy Mwalimu ameitaka kamati ya Ulinzi na usalama ya mkoa akishirikiana na kamati ya Ulinzi ya wilaya ya Mpwapwa kuchunguza tukio la WANAFUNZI watatu wa shule ya msingi mbori wilayani Mpwapwa waliofariki dunia kufuatia ajali ya kufukiwa na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed